{"postid":335762,"title":"Hivi Punde Kutoka Kwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Kwa Ma Ansar Wote Walio Tangulia Walio Bira..","dateline":1599298170,"pagetext":"<div style=\"text-align: center;\"><font size=\"5\"><font color=\"#ff0000\">- 35 -<\/font><br \/>\n<font color=\"#000080\">Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani<\/font><br \/>\n<font color=\"#000080\">الإمام ناصر محمد اليماني<\/font><br \/>\n<font color=\"#000080\">02 - 10 - 1432 هـ<\/font><br \/>\n<font color=\"#000080\">01 - 09 - 2011 مـ<\/font><br \/>\n<font color=\"#000080\">02:37 صباحاً<br \/>\n<font size=\"4\"><a href=\"https:\/\/nasser-alyamani.org\/showthread.php?14250\" target=\"_blank\">https:\/\/nasser-alyamani.org\/showthread.php?14250<\/a><\/font><\/font><br \/>\n<font color=\"#000080\">ـــــــــــــــــــــ<\/font><br \/>\n<br \/>\n<u><font color=\"#800080\">عاجل من المهديّ المنتظَر إلى كافة الأنصار السابقين الأخيار ..<\/font><\/u><br \/>\n<u><font color=\"#800080\">Hivi Punde Kutoka Kwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Kwa Ma Ansar Wote Walio Tangulia Walio Bira..<\/font><\/u><br \/>\n<br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Bismillah Al'Wahid Al'Qahar, Na Sala Na Salam Ju Ya Babu Yangu Muhammad Mtume Wa Allah Na Watu Wake Walio Twahirika Vile itakavo Pishana Usiku Na Mchana...<\/font><br \/>\n<br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Na enye ma3ashara ya ma ansar? Basi musidai kua nyinyi munampenda Allah zaidi kuliko ma Nabi na Mitume wanavo Mpenda Mola Mlezi Wao! Eee Wallahi lau ange kuweko Al'Mahdi Al'Muntadhar Mwenye Khabari kwa Hali Ya Al'Rahman katika zama zao akawapa fatwa kuhusu Hali ya Mola Mlezi Wao kua Yeye Ana Majuto na Maskitiko ju ya walio potea katika waja wake zaidi kuliko maskitiko yao ju ya Watu; Kwahivo hange omba Nabi ju ya kaumu yake na wange haramisha ma Nabi na Mitume wa Allah wote Bustani ya neema ju ya nafsi zao mpaka Aridhike Mola Mlezi wao Katika Nafsi Yake Awatimizie wao uongofu wa watu wote, Lakini Allah Haku wajulisha  Kwa Hali ilio Katika Nafsi Yake Subhanahu Ametakasika Kutoka wa mwanzo wao mpaka khatimu wao babu yangu Muhammad Mtume wa Allah Sala Allahu Aleyhi wa Alihi wa Salam, Kwajili ya hivo Amesema Allah Ta3ala:<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{Ambaye ameziumba mbingu na ardhi, na viliomo ndani yake kwa siku sita. Kisha akatawala juu ya A'rshi, Arrahman, Mwingi wa Rehema! Uliza khabari zake kwa Mwenye Khabari Yake }<\/font><font color=\"#0000ff\"> Sadaqa Allah Al3adhim [Alfurqaan]. <\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{الّذِي خَلَقَ السّمَاوَاتِ وَالأرض وَمَا بَيْنَهُمَا فِي سِتّةِ أَيّامٍ ثُمّ اسْتَوَىَ عَلَى الْعَرْشِ الرّحْمَـَنُ فَاسْأَلْ بِهِ خَبِيراً}<\/font><font color=\"#0000ff\"> صدق الله العظيم [الفرقان:59].<\/font><br \/>\n<br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Kwajili ya hivo amesema Muhammad Mtume wa Allah kwenye kuona ndoto ya bishara:<\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\">[ Basi Ametwii Muhammad Amri Ya Mola Mlezi Wake. Na Akamuliza Mwenye Khamabri Ya Arrahman Mwingi wa Rehema Kuhusu Hali Ya Arrahman Mwingi wa Rehema Basi Nikasema; Ewe Mpendwa Wangu Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyika Wa Alika Alakhyar Wa Salam Tasliman, Vipi umepata maskitiko yako ju ya waja wa Allah katika moyo wako? Akasema: Ewe Mpendwa wa Allah na Mtume Wake, Hakika Amewapa fatwa Allah  kuhusu hali ya mja Wake na Mtume Wake Muhammad katika kauli Yake ya haki: <\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{Basi nafsi yako isijihiliki kwa kuwasikitikia. Hakika Mwenyezi Mungu anajua wanayo yafanya} <\/font><font color=\"#0000ff\">Sadaqa Allah Al3adhim, <\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Aksema Al'imam Al'Mahdi: Basi je waonaje ewe mpendwa wa Allah na mja Wake kwa uwadhimu wa Maskitiko ya Yule ni Mrehemu kwa watu kuliko Muhammad mja wake na Mtume Wake, Allah Arrhama Arrahimin? Kisha nikajistajabia nafsi yangu na kwa ma Nabi wa Allah wote katika ma jini na watu vipi hatukutafakari kwa Hali ya Allah na tumejua uwadhimu wa maskitiko yetu katika nafsi yetu ju ya waja wake wanao kataa kufwata uwongofu! Kwahivo basi vipi uwadhimu wa Maskitiko kwa Yule Mrehemu kwa waja Wake kuliko waja wake wote? Allah Arrhama Arrahimin.] Imeisha. <\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\"> [فقد أطاع محمد رسول الله أمر ربَّه. وسأل الخبير بالرحمن عن حال الرحمن فقلت: يا حبيبي محمد رسول الله صلّى الله عليك وآلك الأخيار وسلم تسليماً، كيف وجدتَ تحسرك على عباد الله في قلبك؟ فقال: يا حبيب الله ورسوله، قد أفتاكم الله عن حال عبده ورسوله محمد في قوله الحقّ: <\/font><font color=\"#008000\">{ فَلا تَذْهَبْ نَفْسُكَ عَلَيْهِمْ حَسَرَاتٍ }<\/font><font color=\"#0000ff\"> صدق الله العظيم، فقال الإمام المهدي: فما بالك يا حبيب الله وعبده بعظيم حسرة من هو أرحم بالناس من محمدٍ عبده ورسوله، الله أرحم الراحمين؟ ومن ثم تعجبتُ من نفسي ومن أنبياء الله أجمعين في الجنّ والإنس كيف لم نتفكر بحال الله وقد علمنا بعظيم حسرتنا في أنفسنا على عباده المعرضين عن اتّباع الهدى! إذاً فكيف عظيم حسرة من هو أرحم بعباده من عبيده جميعا؟ الله أرحم الراحمين. ] اِنتهى.<\/font><br \/>\n<br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Basi kuweni katika wanao shukru basi nyinyi sio zaidi kumpenda Allah kuliko Mitume Wake na Ma Nabi Wake kwa Mola Mlezi wao basi wao hivo hivo mapenzi yao ni zaidi kwa nyoyo zao ni Ya Allah kama nyinyi Munavo Mpenda:<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{Lakini walio amini wanampenda Mwenyezi Mungu zaidi sana}<\/font><font color=\"#0000ff\"> <br \/>\nSadaqa Allah Al3adhim [Albaqara:165].<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{وَالَّذِينَ آمَنُواْ أَشَدُّ حُبّاً لِّلّهِ}<\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\"> صدق الله العظيم <\/font><font color=\"#0000FF\"> [البقرة:165].<\/font><br \/>\n<br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Kwakua hio ni ushuhuda wa imani kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala: <br \/>\n<\/font><font color=\"#008000\">{Lakini walio amin i wanampenda Mwenyezi Mungu zaidi sana}<\/font><font color=\"#0000FF\">,<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\"> {وَالَّذِينَ آمَنُواْ أَشَدُّ حُبّاً لِّلّهِ}،<\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Na hivo hivo wanajua kua Allah Yeye ni Mrahimu kwa waja Wake kuliko wao ispokua hawakuskitika kwa Maskitiko Ya Allah Arrahama Arrahimini kwakua Allah Haja'wafufunulia kwa Hali Yaliomo Katika Nafsi Yake kutokana Na Maskitiko ju ya walio potea katika waja Wake, Kwajili ya hivo hawa kuharamisha Bustani ya neema mpaka Aridhike pamoja kua wao hawajapenda Bustani ya neema na ma huruleni zaidi kuliko Allah, Hasha Kwa Allah! Bali ni katika wanao taka haraka Radhi Ya Allah zaidi katika watu, Kwajili ya hivo amesema Musa Ju Yake Sala na Salam:<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{Na nimefanya haraka kukujia, Mola wangu Mlezi, ili uridhike}<\/font><font color=\"#0000ff\"> Sadaqa Allah Al3adhim<\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\">[Twaha:84].<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\"> {وَعَجِلْتُ إِلَيْكَ رَبِّ لِتَرْضَى}<\/font><font color=\"#0000FF\"> صدق الله العظيم [طه:84].<\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Hivi hukuona ewe aba hamza ambae afanya bidi yeye na kundi lake ili afitini ma ansar usiku na mchana na ikawa hila yako matokeo yake ni kinyume sio vile ulikua ukitaka na tunayo ya zaidi katika utawala wa ilimu kwa yale Alio Nifundisha Mola Mlezi wangu Ametakasika ili tukitishe nayo waislamu. <\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\"><br \/>\n<\/font><font color=\"#0000ff\">Basi kuweni wenye kushukuru enye ma3ashara ya watu katika zama hizi pindi Amewajalia katika zama za kutumilizwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Mwenye khabari kwa Hali ya Allah Arrahman Alio Stawi Kwa enzi Kuu Al3rsh Al3adhim Arrhama Mrehemu zaidi kuliko wenye rehema Mola Mlezi wangu na Mola Mlezi wenu basi mumabudu Yeye hi ni njia ilio nyoka, Na wala isi'washughulishe maskitiko yenu ju ya watu kutokana na kutafakari kwa Maskitiko Ya Yule Ni Mrahimu kwa waja Wake kuliko nyinyi Allah Mwenye Huruma kuliko wenye huruma, Ispokua Amefanya Allah maskitiko katika nyoyo za ma Nabi Wake ili wajuwe kiasi gani Maskitiko ya Yule Ambae Yeye Mwenye Huruma kwa waja wake kuliko ma Nabi Wake na Mitume Wake  Allah Arrhama Arrahimin, <\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\"><br \/>\n<\/font><font color=\"#0000ff\">Basi siri ya Maskitiko Ya Arrahman Kwenye Nafsi Yake imeghibu kwao kwa sababu kua ime'washughulisha maskitiko yao ju ya waja kuto Tafakari kwa Maskitiko ya ambae Yeye ni Mrahimu zaidi kuliko wao, Na lau wangeli jitahidi kwa ulinganizi kwa Allah kwa kujua kutoka Kwa Mola Mlezi wao Ange Ongoa watu wote wala sio kuskitika ju yao basi kwahivo wange faulu Mitume kutimiza ipatikane uongofu wa watu, Basi haikumsaidia maskitiko babu yangu Muhammad Mtume wa Allah ju ya waja wa Allah kwajili ya hivo Alimkemea Allah Nabi Wake Akasema Allah Kumwambia Nabi Wake: <\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angependa angeli wakusanya kwenye uwongofu. Basi usiwe miongoni mwa majahili}<\/font><font color=\"#0000ff\"> Sadaqa Allah Al3adhim [Alanaam:35],<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{وَلَوْ شَاءَ اللَّهُ لَجَمَعَهُمْ عَلَى الْهُدَى فَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْجَاهِلِينَ}<\/font><font color=\"#0000ff\"> صدق الله العظيم<\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\"> [الأنعام:35]، <\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\"><br \/>\n<\/font><font color=\"#0000ff\">Kwa kua yeye ataka kutoka kwa Allah ampe ishara za miujiza kubwa ili itimu kupatikane uwongofu wao kwakua yeye imekua nyingi kwa nafsi yake maskitiko na huzuni kwa sababu ya kukataa kwao, Kwajili ya hivo Amesema Allah Ta3ala:<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{Tunajua ya kwamba yanakuhuzunisha wanayo yasema. Basi hakika wao hawakukanushi wewe, lakini hao madhaalimu wanazikataa Ishara za Mwenyezi Mungu (33) Na hakika walikanushwa Mitume wa kabla yako. Nao wakavumilia kule kukanushwa, na kuudhiwa, mpaka ilipo wafikia nusura yetu. Na hapana wa kubadilisha maneno ya Mwenyezi Mungu. Na bila ya shaka zimekujia baadhi ya khabari za Mitume hao (34) Na ikiwa ni makubwa kwako huku kukataa kwao, basi kama unaweza kutafuta njia ya chini kwa chini ya ardhi, au ngazi kwendea mbinguni ili uwaletee Ishara -- Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angependa angeli wakusanya kwenye uwongofu. Basi usiwe miongoni mwa majahili (35)}<\/font><font color=\"#0000ff\"> Sadaqa Allah Al3adhim [Alanaam]. <\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{قَدْ نَعْلَمُ إِنَّهُ لَيَحْزُنُكَ الَّذِي يَقُولُونَ فَإِنَّهُمْ لَا يُكَذِّبُونَكَ وَلَـٰكِنَّ الظَّالِمِينَ بِآيَاتِ اللَّـهِ يَجْحَدُونَ ﴿٣٣﴾ وَلَقَدْ كُذِّبَتْ رُ‌سُلٌ مِّن قَبْلِكَ فَصَبَرُ‌وا عَلَىٰ مَا كُذِّبُوا وَأُوذُوا حَتَّىٰ أَتَاهُمْ نَصْرُ‌نَا وَلَا مُبَدِّلَ لِكَلِمَاتِ اللَّـهِ وَلَقَدْ جَاءَكَ مِن نَّبَإِ الْمرسلين ﴿٣٤﴾ وَإِن كَانَ كَبُرَ‌ عَلَيْكَ إِعْرَ‌اضُهُمْ فَإِنِ اسْتَطَعْتَ أنْ تَبْتَغِيَ نَفَقًا فِي الأرض أَوْ سُلَّمًا فِي السَّمَاءِ فَتَأْتِيَهُم بِآيَةٍ وَلَوْ شَاءَ اللَّـهُ لَجَمَعَهُمْ عَلَى الْهُدَىٰ فَلَا تَكُونَنَّ مِنَالْجَاهِلِينَ ﴿٣٥﴾}<\/font><font color=\"#0000FF\"> صدق الله العظيم [الأنعام].<\/font><br \/>\n<br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Na Akasema Allah Ta3ala: <\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{{Basi nafsi yako isijihiliki kwa kuwasikitikia. Hakika Mwenyezi Mungu anajua wanayo yafanya(8)}<\/font><font color=\"#0000ff\"> Sadaqa Allah Al3adhim [Fatir]. <\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{فَلَا تَذْهَبْ نَفْسُكَ عَلَيْهِمْ حَسَرَ‌اتٍ إنَّ اللَّـهَ عَلِيمٌ بِمَا يَصْنَعُونَ ﴿٨﴾}<\/font><font color=\"#0000ff\"> صدق الله العظيم [فاطر].<\/font><br \/>\n<br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Basi Hatowaongoa Allah wote kwa sababu ya uwadhimu wa maskitiko yenu na huzuni yenu; Bali mutafakari kwenye Maskitiko na Huzuni Ya Yule Ni Mrahimu kwa waja wake kuliko nyinyi Allah Marahimu zaidi ya wenye huruma Arrhama Arrahimin, Na mujitahidi kwa ulinganizi kwa Allah kwa kusudio la kuondosha Maskitiko na Huzuni Kwenye Nafsi Ya Allah Mrahimu kuliko nyinyi kwa waja wake kisha Atawaongoza Allah kwajili yenu ili Atimize kupatikane lengo lenu Aridhike, Na kwajili ya hivo Amewaumba, Na katika hayo siri ya kufaulu ulinganizi wa Al'Mahdi Al'Muntadhar ambae Atafanya Allah watu  kwa sababu yake umma moja bila kukhitilifiana, Ispo kua  Ameongoza Allah watu kwajili yake Kumhurumia yeye kwakua maskitiko yake na huzuni yake sio kwajili ya watu; Bali maskitiko yangu na huzuni yangu kuondoka kwa Neema yangu katika Nafsi Ya Allah Mola Mlezi Wangu, Basi sitoridhika mpaka aridhike kwakua mimi nabudu Radhi ya Allah kama lengo wala sio njia ili ipatikane Bustani yake na kwajili ya hivo Amewaumbeni. Akasema Allah Ta3ala: <\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{Na Mola wako Mlezi angeli penda ange wafanya watu wote wakawa umma mmoja. Lakini hawaachi kukhitalifiana (118)  Isipo kuwa yule ambao Mola wako Mlezi amemrehemu; na kwa hiyo ndio Mwenyezi Mungu amewaumba}<\/font><font color=\"#0000ff\"> Sadaqa Allah Al3adhim [Hud:118:119].<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{وَلَوْ شَاءَ رَبُّكَ لَجَعَلَ النَّاسَ أُمَّةً وَاحِدَةً وَلَا يَزَالُونَ مُخْتَلِفِينَ ﴿١١٨﴾ إِلَّا مَن رَّحِمَ رَبُّكَ وَلِذَٰلِكَ خَلَقَهُمْ}<\/font><font color=\"#0000ff\"> صدق الله العظيم [هود:118-119].<\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\"><br \/>\n<\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Na tuje kwa Bayana ya haki katika Kauli ya Allah Ta3ala: <\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{Na Mola wako Mlezi angeli penda ange wafanya watu wote wakawa umma mmoja}<br \/>\n {وَلَوْ شَاءَ ربّك لَجَعَلَ النّاس أُمَّةً وَاحِدَةً} <\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Na mutakuta Bayana Kwenye Kauli ya Allah Ta3ala:<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{Angeli taka Mola wako Mlezi wangeli amini wote waliomo katika ardhi. Je, wewe utawalazimisha watu kwa nguvu mpaka wawe Waumini?}<\/font><font color=\"#0000ff\"> Sadaqa Allah Al3adhim [Yunus:99].<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{وَلَوْ شَاء ربّك لأمَنَ مَنْ فِي الأرض كُلُّهُمْ جَمِيعاً أَفَأنت تُكْرِهُ النّاس حَتَّى يَكُونُوا مُؤْمِنِينَ}<\/font><font color=\"#0000ff\"> صدق الله العظيم [يونس:99].<\/font><br \/>\n<br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Na tuje kwa Bayana ya Kauli Allah Ta3ala:<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{وَلَا يَزَالُونَ مُخْتَلِفِينَ ﴿١١٨﴾}<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{Lakini hawaachi kukhitalifiana (118)}<\/font><font color=\"#0000ff\"> Sadaqa Allah Al3adhim, <\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Na Anakusudia katika zama za Ma Nabi Na Mitune haikutimu kuongoka waliomo katika dunia wote, Basi hawa kuwafanya umma moja katika njia ilio nyoka, Kusdikisha kauli ya Allah Ta3ala:<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani. Basi kati yao wapo alio waongoa Mwenyezi Mungu. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu}<\/font><font color=\"#0000ff\"> Sadaqa Allah Al3adhim [Anahli:36]. <\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\"> {وَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كلّ أُمَّةٍ رَسُولًا أَن اُعْبُدُوا اللَّهَ وَاجْتَنِبُوا الطَّاغُوتَ فَمِنْهُمْ مَنْ هَدَى اللَّهُ وَمِنْهُمْ مَنْ حَقَّتْ عَلَيْهِ الضَّلالَةُ} <\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\">صدق الله العظيم <\/font><font color=\"#0000FF\">[النحل:36].<\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Na kisha tuje kwa Bayana Ya Kauli Ya Allah Ta3ala: <\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{Isipo kuwa yule ambao Mola wako Mlezi amemrehemu; na kwa hiyo ndio Mwenyezi Mungu amewaumba}<\/font><font color=\"#0000ff\"> Sadaqa Allah Al3adhim, <\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{إِلا مَنْ رَحِمَ ربّك وَلِذَلِكَ خَلَقَهُمْ} <\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\">صدق الله العظيم،<\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Basi huyo ni Al'Mahdi Al'Muntadhar Ambae Amembagua Allah katika zama zake ili Amalize khitilafu katika zama zake ndio Aongoe nae umma wote awafanye umma moja ju ya njia ilio nyoka, Mpaka itimie lengo la Al'Imam Al'Mahdi na ma ansar wake kwakua wao wamechukua Radhi ya Allah ni lengo wala sio njia <\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">{na kwa hiyo ndio Mwenyezi Mungu amewaumba}<\/font><font color=\"#0000ff\"> Sadaqa Allah Al3adhim.<\/font><br \/>\n<font color=\"#008000\">  {وَلِذَلِكَ خَلَقَهُمْ} <\/font><font color=\"#0000FF\">صدق الله العظيم.<\/font><br \/>\n<br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Na Salam Ju Ya Mitume, Na Alhamdulullah Rabil3alamin.. <\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\">Ndugu Yenu Al'Mahdi Al'Muntadhar Katika Zama Za Mazungumzo Kabla Ya Kudhihiri: Mwenye Khabari Ya Arrahman Ambae Amewajulisha Yale Ambao Hamukua Mukiyajua: Abdulnaim Alaadham Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani.<\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\"> عبد النّعيم الأعظم الإمام ناصر محمد اليماني.<\/font><br \/>\n<font color=\"#0000ff\">____________<br \/>\n<\/font><div class=\"showpost\">110818<\/div><\/font><\/div>","keywords":"enye,wenye,الله,kati,hivo,عظيم,waja,ange","description":"Basi kuweni wenye kushukuru enye maashara ya watu katika zama hizi pindi Amewajalia katika zama za kutumilizwa Al Mahdi Al Muntadhar Mwenye khabari kwa Hali","source":"110814,110818","lastedit":1599298955,"threadid":40902,"thread":"Hivi Punde Kutoka Kwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Kwa Ma Ansar Wote Walio Tangulia Walio Bira..","forumid":100}